Monday, June 22, 2015

ISRAEL YAPUNGUZA VIKWAZO KWA PALESTINA MWEZI WA RAMADHANI

Israel imetangaza kuwaondolea vikwazo kadhaa wapalestina wa Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi, kama ishara ya nia njema wakati wa mwezi wa Ramadhan, ikiwamo fursa ya kuswali sala ya Ijumaa katika msikiti wa Al-Aqsa. 

0 comments:

Post a Comment