Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza
ameomba utulivu baada ya wapiganaji waliovalia magwanda ya kijeshi
kumuua mmoja ya majenerali walio na ushawishi mkubwa serikalini.
Katika
hotuba kwa taifa muda mchache tu baada ya shambulio hilo,Nkurunziza
aliomba utulivu akisema kuwa kisasi kitamaliza kizazi chote.Monday, August 3, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
"Rais Nkurunziza aomba utulivu Burundi"