Utawala nchini Tunisia unasema kuwa utafunga misikiti 80 katika kipindi
cha wiki moja inayokuja kwa madai ya kuhubiri chuki na jihad.
Waziri mkuu nchini Tunisia Hanib Essid anasema kuwa misikiti hiyo ndio iliokuwa ikitumika kueneza propaganda na kuunga mkono ugaidi
Waziri mkuu nchini Tunisia Hanib Essid anasema kuwa misikiti hiyo ndio iliokuwa ikitumika kueneza propaganda na kuunga mkono ugaidi
"MISIKITI 80 KUFUNGWA TUNISIA"